Saturday, January 23, 2010



"Nashukuru umekuwa kocha pekee ulioonyesha uwezo wa kufundisha hapa nchini kwa kweli mimi naipenda sana Simba hasa hivi unavyoshinda kila mchezo tena umeweka historia ya pekee itabidi nikae nikufikirie nikupe jimbo" Hivi ndivyo inavyoonekana akisema Waziri wa Kazi na maendeleo ya Vijana Juma Athuman Kapuya jana wakati Simba ilipokuwa ikicheza na Prisons ya Mbeya ambapo Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.

No comments: