Saturday, January 23, 2010


Mshambuliaji wa timu ya Simba Mussa Hassan 'Mgosi' akitafuta mbinu za kumtoka beki wa timu ya Prisons ya Mbeya jana Laurian Mpalile katika mchezo wa jana uliofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Mchezo huo ulimalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1

No comments: