Saturday, January 23, 2010
"Nashukuru umekuwa kocha pekee ulioonyesha uwezo wa kufundisha hapa nchini kwa kweli mimi naipenda sana Simba hasa hivi unavyoshinda kila mchezo tena umeweka historia ya pekee itabidi nikae nikufikirie nikupe jimbo" Hivi ndivyo inavyoonekana akisema Waziri wa Kazi na maendeleo ya Vijana Juma Athuman Kapuya jana wakati Simba ilipokuwa ikicheza na Prisons ya Mbeya ambapo Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-1.
hizi zilikuwa za jana wakti Simba ilipotoa kipigo kwa Prisons ya Mbeya
watoto eeehe! mzunguko huo!
Watoto wa shule ya awali ya Galomba iliyopo Keko Michungwani Dar es Salaam, wakiwa katika mchezo. Michezo kama hii kwa watoto ni muhimu kwa ajili ya kujenga afya zao na kuwajenga kiakili zaidi.
Pole Essien wa Taswa..
Kutokana na beki mahiri wa timu ya Taswa Fc Ernest Mbozi kuvunjia mguu wakati akiwa katika mechi ya kirafiki na timu yake ya Chuo, sasa atakuwa nje kwa muda usiopungua wiki 6.
Subscribe to:
Posts (Atom)