Sunday, February 15, 2009

jesus

jana ilikuwa siku ya wapendanao lakini ajabu wengi walioneka kugombana katika kumbi mbalimbali iliniuma sana kuwaona wapenzi wakirushiana makopo ya bia ili hali walitoka nyumbani wamekumbatiana lakini walipofika bar au katika kumbi za starehe walioneka kutofautiana why? haya kazi ipo.