Saturday, February 14, 2009

inaweza kuwa!



Wasanii hawa ni maswahiba wanapendana sana na hapa ilikuwa siku ya uzinduzi wa killi Music Awards 2009. kulia ni LadyJaydeee Komandoo na kushoto kwake ni Keisha sauti ya Dhahabu utawapenda wakiimba kwa pamoja

No comments: