Sunday, February 15, 2009
jesus
jana ilikuwa siku ya wapendanao lakini ajabu wengi walioneka kugombana katika kumbi mbalimbali iliniuma sana kuwaona wapenzi wakirushiana makopo ya bia ili hali walitoka nyumbani wamekumbatiana lakini walipofika bar au katika kumbi za starehe walioneka kutofautiana why? haya kazi ipo.
Saturday, February 14, 2009
Mhhhh!
kuwepo kwa wingi wa vijana duniani ni challenge ya maisha kwa hiyo kaka yetu unatakiwa kuwa makini na kila jambo ambalo linaweza kuwa zuri ama baya vumilia kwa sababu unawengi wanaokutegemea huyo ni Maximo. uanashangaa ni hali hiyo tuliyonayo waTz
inaweza kuwa!
panafaa kinoma hapo
Subscribe to:
Posts (Atom)