Hii hali inazidi kuwa sugu katika Vyuo vyetu hapa nchini ,Hapa wanafunzi wakiwa wameandamana kupinga hatua ya Serikali kudai kuwa watalipa ada kwa mawanafuzi kwa asilimia 60% na mwanafunzi atalipa asilimia 40%.mazingira haya yanatishia elimu yetu hadi ninavyozungumza hapa Chuo kimefungwa,kwa muda usiojulikana Dah! kazi ipo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment