Sunday, October 26, 2008


Kocha mkuu wa timu ya Tanzania 'taifa stars' Marcio Maximo ni moja ya makocha ambao sasa hivi kila nchi inatamani aweze kwenda kufundisha kutoka na uwezo wake mkubwa wa kufundisha hapa akiwa na mdau alipokuwa kazini Uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam.

No comments: