hizi zilikuwa za jana wakti Simba ilipotoa kipigo kwa Prisons ya Mbeya
Wadau wa soka wakijadiliana jana katika mchezo wa Simba na Prisons ya Mbeya ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 3-1 Mdau Mkuu anayeamini anaipenda Simba Mh.Juma Kapuya akilonga na jamaa ambye jina lake halikufahamika .
No comments:
Post a Comment